RC arusha apiga marufuku siasa msibani

RC wa arusha mh mrisho gambo amesema atawazibiti wale woote wanao leta siasa kwenye msiba au misiba

mkuu huyo alisema msibani syo mahara pa siasa ana shangaa kuona watu wanaleta siasa hiyo ni kinyume na ata washughulikia kuakikisha hawaaribu utarati ulio wekwa

aliyaongea hayo alipokuwa akipokea baadhi ya michango kwa wafiwa wa ajari ya arusha na.kuwaasa wafuate utaratibu ulio wekwa ili kuepusha migongano itakayo weza kujitokeza


Post a Comment

Previous Post Next Post