kampuni ya bia ya TBL chini ya bia ya serengeti imesaini mkataba wa kuisapoti taifa stars katika michuano tofauti
mkataba huo umasainiwa reo mbele ya waziri wa michezo mh mwakyembe ambapo serengeti itatoa zaidi ya milioni mia saba kwa mwaka na kuitaka TFF kuzitumia hela izo katika kuakikisha tanzania inafika mbali katika michuano tofauti
Tags
Michezo