ebola ya zuka dr kongo

kwa mujibu wa shilika la afya duniani WHO wamesema mtu mmoja kaskazini mwa kongo anaaminika amefariki.kwa ugonjwa wa ebola

mtu huyo alionesha dalili zote za kuwa na virusi hivyo atari vilivyo pelekea kifo chake huku watu wengine tisa wakiaminika wameambukizwa ugonjwa huo

hivyo basi watu wa maeneo hayo wametakiwa kuwa waangarifu ili kupunguza kuenea kwa ugonjwa huo atari


Post a Comment

Previous Post Next Post