msando aomba msamaha baada ya video kuvuja

mwanasheria mkongwe albert msando ameomba.msamaha baada ya video yake na gigy kuvuja mtandaoni

video hiyo ina mwonesha gigy akiwa na msando kwenye gari huku gigy akicheza mziki na msando akimpapasa mwilini mwanamke huyo

msando.kupitia ukurasa wake wa instagram ameomba msamaha kwa walio kwazika na ambao hawakuvutiwa kabisa na video hiyo


Post a Comment

Previous Post Next Post