TRUMP KUZURU ISRAEL

rais wa wa marekan bwana trump ataitembelea israel na kukutana viongozi mbali mbali wa israel na parestina

huu ni.mwendelezo wa ziara ya trump mashariki ya kati ambapo amesha tembelea saudi arabia trump anatarajiwa kufanya mkutano siku mbili nchini israel kujadiri.mzozo wa parestina na israel

trump amepata uungwaji mkono katika nchi za mashariki ya kati tofauti na ilivyokuwa kwa mtangulizi wake obama


Post a Comment

Previous Post Next Post