taarifa kutoka nchini kenya zinasema polisi wa nne wamefariki baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa aldhini
kwa mujibu wa shilika la msalaba mwekundu ni kwamba tukio hilo limetokea kaskazini mwa kenya katika mpaka na somaria
katika tukio hilo polisi wanne wamepoteza maisha na wengine wanne wamejeruhiwa vibaya hukwa gari walilo kuwa wakisafiria likiwa limeharibika kabisa
mpaka sasa hakuna kikundi chochote kilicho kubari kuhusika na tukio hilo ila wanamgambo wa alshabaabu wanazaniwa kuwa ndyo walio tekeleza tukio hilo
kwa mujibu wa shilika la msalaba mwekundu ni kwamba tukio hilo limetokea kaskazini mwa kenya katika mpaka na somaria
katika tukio hilo polisi wanne wamepoteza maisha na wengine wanne wamejeruhiwa vibaya hukwa gari walilo kuwa wakisafiria likiwa limeharibika kabisa
mpaka sasa hakuna kikundi chochote kilicho kubari kuhusika na tukio hilo ila wanamgambo wa alshabaabu wanazaniwa kuwa ndyo walio tekeleza tukio hilo
Tags
Kimataifa
