mchezaji machachali wa timu ya simba ibrahim ajibu afunga ndoa reo na mpenzi wake wa muda mrefu
ajibu amesema wamesha chunguzana saana na wameona wanaweza kuishi pamoja leo wameamua kufunga ndoa ili wasiwe wanamchukiza mungu tena
ajibu amesema wamesha chunguzana saana na wameona wanaweza kuishi pamoja leo wameamua kufunga ndoa ili wasiwe wanamchukiza mungu tena
Tags
Michezo
