raisi john pombe magufuri leo mapema amtaka pr muhongo ajiuzuru baada ya kushindwa kusimamia mchanga wenye madini
baada ya kupokea ripoti.ya kamati aliyo uteua kuchunguza suala hilo mh raisi amemtaka mh muhongo kujiuzuru haraka
raisi alisema muhongo anatakiwa kijitasimini haraka kwa yaliyo tokea kwenye wizara yake na ajiuzuru
muhongo anatuhumiwa kwa kuto simamia suala la mchanga wenye madini ambao ulikuwa unachangia kupotea kwa mapato mengi ya selikali
katika ripoti iliyo wasilishwa inaonesha wamegundua madini mengine yenye samani ya zaidi ya bilion256 ambayo yalikuwa yanatoroshwa kwenda nje ya nchi
baada ya kupokea ripoti.ya kamati aliyo uteua kuchunguza suala hilo mh raisi amemtaka mh muhongo kujiuzuru haraka
raisi alisema muhongo anatakiwa kijitasimini haraka kwa yaliyo tokea kwenye wizara yake na ajiuzuru
muhongo anatuhumiwa kwa kuto simamia suala la mchanga wenye madini ambao ulikuwa unachangia kupotea kwa mapato mengi ya selikali
katika ripoti iliyo wasilishwa inaonesha wamegundua madini mengine yenye samani ya zaidi ya bilion256 ambayo yalikuwa yanatoroshwa kwenda nje ya nchi
Tags
Kitaifa
