kufuatia mvua nyingi zinazo nyesha visiwani zanzibar imepelekea shule zote.kufungwa mvua hizo zinazo nyesha kwa wiki ya tatu sasa imesababisha wanafunzi kushindwa kufika mashuleni hivyo basi waziri wa elimu kutangaza kuzifunga shule zote huku akisema wanafunzi.wa.kidato cha sita wanaendelea na mitihani yao kama kawaida
pia mvua hiyo imeharibu mpaka miundombinu kama barabara na baadhi ya sehemu umeme kupatikana kwa shida
Tags
Kitaifa