JUVE YA MSAJILI CUADRADO

Juventus imefikia makubariano ya kumsajili.cuadrado baada ya kuwa nae kwa mkopo

mchezaji huyo alikuwa hapo kwa mkopo akitokea chelsea aliisaidia juve kutwaa ubingwa italia na kuingia fainal ya UEFA

juventus imempa mkataba wa miaka mitatu na wamemnunua kwa paun milion 17 kutoka katika club ya chelsea

akiongea na waandishi wa habari cuadrado amesema amefurai.kupewa mkataba na juventus kwakuwa wameonesha kuvutiwa na yeye anashukuru na ata pambana kadri ya uwezo wake alisema


Post a Comment

Previous Post Next Post