japani imekuwa nimiongoni mwa nchi zinazotoa.ajira nyingi kwa wahitimu wa chuo kikuu mara tu wanapo mariza masomo yao
japani huajiri zaidi ya asilimia 97 ya wahitimu wote bila kuangaria fani waliyo soma vyuoni kwa wakati husika
japani pia huajiri ata wageni pia ambao wamesoma nchini humo hasa walio somea sayansi katika vipengere tofauti tofauti
hatua ya japani kuajiri imetajwa kusaidia kukua kwa uchumi wa nchi ukizingatia uchumi wa japani ulikuwa umeshuka kwa kiasi fulani
Tags
Kimataifa