fifa imesibitisha kuipa africa nafasi tisa katika michuano ya kombe la dunia kutoka nafasi tano mpaka tisa
pia kwa mujibu wa mfumo timu.zinaweza kuwa kumi.kwakuwa kuna nafasi moja ya kushindaniwa na mabara yote
hatua hiyo itasaidia baadhi ya nchi kupata nafasi baada ya timu kuongezeka katika michuano hiyo ya kombe la dunia
Tags
Michezo