china yaaminika kuwaua majasusi wa marekani

gazeti moja nchini marekani limeandika kuwa chini imewaua majasusi wa marekani yaidi ya 18 tangu 2000 ambapo wengine wanaaminika kufungwa gerezani

inaaminika kuuawa kwa majasusi hao kumepelekea shughuli za upelelezi za marekani kuathilika kwa kiasi kikubwa

marekani imekuwa na tabia ya kuchunguza mataifa mengine ili kujua wana mikakati gani kuiuchumi na ata kidipromasia pia


Post a Comment

Previous Post Next Post