AFARIKI BAADA YA KUANGUKIWA NA TEMBO

mwindaji mmoja nchini zimbabwe amefariki baada ya kulaliwa na tembo ambae alikuwa amepigwa lisasi

mwindaji huyo kutoka limpopo.afrika kusini alikuwa akijaribu kumuinua mnyama huyo ghafla akazidiwa uzito akawa amekandamizwa mpaka kufa

kwa mujibu wa taarifa mwindaji huyo alikuwa na uzoefu wa kuwinda simba na chui hakuwai kuwinda tembo au ndovu kabla

marehem kaacha mke na watoto watano ambao alikuwa anaishi nao limpopo


Post a Comment

Previous Post Next Post