MTU ACHOMWA MOTO VENEZUELA

Polisi nchini venezuela imesibitisha kuwa mtu mmoja amechomwa moto na waandamanaji

kwa mujibu wa mashuhuda wamesema mtu huyo inaaminika kuwa ni mfuasi wa serikali.alichomwa moto asilimia 80 ya mwili wake

mtu huyo ambae ilisemekana ni mwizi watu walimzingira wakamchoma kisu atimae wakamchoma moto kabla ya polisi kumwokoa

tangu maandamano yaanze.watu zaidi ya 58 wame ripotiwa kuuawa huku wengi wao wakiwa ni waandamanaji wanao ipinga serikali

pia raisi amesema waandamanaji wanaendesha uporaji na wizi wa mari za.watu hasa maeneo ya mijini


Post a Comment

Previous Post Next Post