ndoa za watu wa jinsia moja zafanyika kwa mala ya kwanza ujerumani

Admin
By -
0 minute read
0
nchini ujerumani kumefanyika tukio kubwa la kihistoria baada ya kufungwa kwa ndoa za jinsia moja

katika nchi nyingi serikali zimekuwa zikipata kigugumizi kuruhusu ndoa za mashoga lakini bunge la ujerumani limelizia

baada ya kulidhia hatimae ndoa zimefungwa leo ambapo ndoa hizo zina tambulika kiserikali kwenye sheria

baadhi ya wahusika wa mahusiano ya jinsia moja wamesema wamefurai kuwa huru na kutambulika kiserikali

baada ya kufunga ndoa watakuwa huru kupanga watoto na.hata wakiachana mahakama itawasimamia kuwapa haki stahiki baada ya kuachana
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 13, March 2025