WABONGO WAANZA KUMCHAMBUA MZUNGU WA HARMONIZE

Admin
By -
0

Baada ya msanii kutoka WCB harmonize kumweka wazi mpenzi wake wabongo washaanza kuponda

harmonize alionesha picha ya X-RAY ikionesha kuwa mpenzi wake ni mjamzito watu wakaanza kulusha majungu na kumchambua huku wakioneshwa kuto vutiwa

wengine walidiliki kusema mzungu mwenyewe mbaya pia ana mdomo mkubwa huku wengine wakisema amenyata na havutii

harmonize amweka wazi mpenzi wake punde tuu baada ukisikika kuwa ameachana na aliyekuwa mpenzi wake Jacklin wolper


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)