MNYIKA:NTAMSHITAKI ASKARI ALIYE NISUKUMA

Admin
By -
0

Mbunge wa kibamba kwa tiketi ya chadema john mnyika ahaidi kumshtaki askari aliye msukuma

mnyika alitolewa nje  kwa amri ya spika wa bunge baada ya kupishana kauli na spika ndipo askari wa bunge wakaja kumsukuma kumtoa nje ya bunge

akiongea kutoka kilimanjaro mnyika kasema akirudi anaenda kumfungulia kesi askari aliye msukuma na kumvunjia heshima mbele ya watanzania

mnyika kasema hatofumbia macho jambo hilo na ataakikisha linafikia sehemu linapotakiwa ili iwe fundisho kwa askari wengine kufuata wajibu wao wanapo fanya kazi zao


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)