BULAYA NA MDEE WAPIGWA STOP KUHUDHULIA VIKAO VYA BUNGE

Admin
By -
0

Kufuatia kile kilichoitwa utovu wa nidham kamati ya maadiri ya bunge yawapiga stop bulaya na mdee kuhudhulia bungeni

maamuzi hayo yamepitishwa leo na kuungwa mkono na wabunge wengi wa  chama tawala bungeni mjini dodoma

katika shelia kuna kifungu cha sheria kinaipa uwezo wa kumsimamisha mbunge mpaka vikao kumi(10) kwa kufanya kosa bungeni na ikiwezekana hata vikao 20 kwa mbunge


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)