SIMBA YA MWACHA MCHEZAJI HUYU

Admin
By -
0

Klabu ya simba yasibitisha kumwacha mchezaji hamad juma kutokana na utovu wa nidhamu

uonhmgozi wa simba ambao ulimsajili amad juma kutoka coastal union umesema mchezaji huyo amekuwa hana nidham ivyo basi wameamua kumuacha

pia wamesema kuna wakati walilazimika kudanganya kuwa alianguka chooni lakini hapana waliamua tuu kuficha haikuwa hivyo

simba wamesema mchezaji huyo yupo hulu na atakae muitaji waongee wenyewe Hatua hiyo imekuja mwaka mmoja tuu baada ya mchezaji huyo kujiunga na simba akitokea coastal union ya tanga


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)