MWILI WA ALIYE CHORA NEMBO YA TAIFA KUSAFILISHWA LEO

Admin
By -
0

Mwili wa mzee maige ambae alichora nembo ya taifa kusafirishwa leo kuelekea misungwi kwa mazishi

mzee huyo ambae alifia hospital ya taifa muhimbili utasafilishwa kuelekea kwao misungwi mwanza baada ya ndugu zake kupatikana

mzee huyo aliibuliwa na ITV akiwa yupo hoi kwa kuugua huku akiishi maisha ya taabu kwakukosa msaada hasa kwa serikali na badae kufia muhimbili


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)