ROSE MUHANDO AKAMATWA NA POLISI SINGIDA

Admin
By -
0

Polisi mkoani singida imemkamata muimbaji wa nyimbo za injili Rose muhando kwa kosa la utapeli

mkuu wa polisi mkoani humo amesibitisha kuwa ilimkamata muimbaji huyo kufuatia kesi iiyo funguliwa na kanisa la AICT

polisi inasema muimbaji huyo alitumiwa pesa na kanisa hilo novemba 3 mwaka jana shilingi 800000 kwaajili ya kuja kwenye uzinduzi wa kwaya lakini msanii huyo hakufika

msanii huyo aliojiwa na polisi na kukili kupokea pesa hizo na hakufanikiwa kuja kwakuwa alikuwa na mgonjwa hivyo alishindwa kufika pia alihahidi kuziludisha pesa hizo


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)