MDEE NA BULAYA KULIPWA NUSU MSHAHARA

Admin
By -
0

baada ya bunge kuwasimamisha wabunge wawili.Halima mdee na Ester bulaya bunge limeamua kuwalipa nusu mshahara

kufuatia kusimamishwa kwao wabunge hao wawili watalipwa nusu mshahara pamoja na posho kwa muda wa miezi kumi

uongozi wa bunge umesema hadhabu hiyo ni sahihi kwao kwakuwa walionesha utovu wa nidhamu

Bulaya alikutikana na hatia ya kuzarau kiti cha bunge ambapo alisimama na kuongea bila ruhusa huku akikaidi amri ya spika

Mdee nae alikumbwa na hatia ya kuzarau na kupinga maamuzi ya spika kwa kumvuta shati askari ambae alikuwa akimtoa nje mbunge wa kibamba John mnyika


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)