RC KILIMANJARO ASEMA YEYE SI MPINGA MAENDELEO

Admin
By -
0

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya ACT mama Anna amesema yeye sio mpinga maendeleo

baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro maneno mengi yalizuka kuhusu kuchaguliwa kwake kuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro

baada ya kuapishwa alisema yeye syo mpinga maendeleo hivyo basi hawezi kukataa kuchukuwa nafasi hiyo aliyo teuliwa

alisema anaenda kusimamia maendeleo ya mkoa na kila chama kinapigania maendeleo hivyo atakwenda kusimamia maendeleo ya mkoa wa kilimanjaro

mama.Anna nimwenyekiti wa ACT wazarendo na ameenda kuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro nampka sasa haijajulikana hatima ya uenyekiti wake


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)