POLISI YASEMA WAWILI WAFARIKI KIBITI

Admin
By -
0

Kabla kulikuwa na taaria ya kukutwa watu watatu wakiwa wamepigwa risasi

kamanda wa polisi amesema watu wawili wameuawa kibiti kwa kupigwa risasi na watu wasio fahamika

polisi imesema mpaka sasa wana taarifa ya wa wili ndyo wameuawa kwa kipigwa risasi usiku wa kuamkia leo

polisi imesema inaendelea na uchunguzi zaidi kubaini walio fanya mauaji pia hakuna taarifa ya kuchukuliwa kitu chochote wauaji wameua tu na kutoweka kusiko julikana


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)