NCHEMBA:ATOA SABABU ZA KUZUIA MAHAFARI YA WANAFUNZI WA UPINZANI VYUONI

Admin
By -
0 minute read
0

Waziri mwigulu nchemba akijibu swali bungeni kuhusu kukatazwa kwa mahafari ya wanafunzi wa upinzani vyuoni

waziri alisema wanafunzi wa upinzani huwa hawafuati taratibu za kufanya mahafari yao huwa wanafanya kiholela ndyo maana huzuiliwa

pia kuhusu wanafunzi wa ccm nchemba amesema hawa hufuata taratibu zooote za ufanyaji mahafari yao ndyo maana uruhusiwa kufanya

Nchemba amesema wakitaka kufanya hawazuiliwi kikubwa wafuate utaratibu wa ufanyaji wa mahafari hayo hawata zuiliwa kma ilivyo kwa wenzao wa ccm

hivi karibini kumeshuhudiwa kuzuiliwa kwa baadhi ya mahafari ya wanachuo hususani wa chadema mavyuoni huku kukiwa na sababu mbalimbali


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 13, March 2025