MAN UNITED KUMTEMA IBRA

Admin
By -
0

Tangu apatwe na jaraha mshambuliaji waanchester united ibrahimovic huenda akaachwa na timu hiyo

mpaka sasa akuna mazungumzo yoyote kuhusu mkataba mpya tangu mchezaji huyo aumie na kuwa nje

man united wamekuwa kimya kipindi kirefu na hawajaonesha kuitaji kumwongezea mkataba ambapo kuna muda kulitokea mvutano kuhusu mshahara ambapo uongozi wa man united ulitaka kumpunguzia mshahara kipindi akiwa nje ya uwanja

mchezaji huyo amesha ifungia timu hiyo magori zaidi ya 28 tangu akljiunge na klabu hiyo ya mjini manchester


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)