TV NI HATARI KWA AFYA YA MTOTO

Admin
By -
0

Uchunguzi ulio fanywa nchini uingereza umebaini kuwa TV ni hatari kwa afya ya mtoto

madaktari na wanasayansi nchini uingereza wamebaini kuwa watoto ambao wana tv zao vyumbani mwao wapo katika hatari ya kupata uzito ulio pitiliza kutokana na utazamaji wa tv

wanasayansi walifanya utafiti kwa watoto zaidi ya 12000 nchini uingereza na kubaini kuwa walipata uzito mkubwa baada ya kuangaria TV kwa muda mrefu

pis kuna madhara mengine mengi kama kuharibu macho kwakuwa mwanga wa TV huwa ni mkali sana inapelekea kuharibu macho ya mtoto ata mtu mzima

hivyo basi wameshauri kama tuna wapenda watoto wetu tusijaribu kuwawekea.TV mavyumbani mwao kwa kuwa wataangaria kwa muda mlefu na kujikuta wakipata matatizo kama haya


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)