ZITTO KABWE ABAKI NJIA PANDA

Admin
By -
0

Kufuatia kufanyika uteuzi wa mama ana mgimwa kuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro zitto kabwe akosa majibu

zito amesema mpaka sasa hajui awajibu nini wanahabari kwakuwa hata mama anna mwenyewe hayupo tanzania anamsubili kwanza arudi alafu watatoa taarifa

zitto alisema ata yeye alishtushwa na uteuzi kma mtanzania ila hana cha kusema anamsubili muhusika arudi wataongea vizuri

kufuatia uteuzi huo watu wengi walishangaa kwakuwa mkuu wa mkoa mara zote huwa mwana.ccm na uhuzuria vikao vya ccm huku mama ana akiwa mwenyekiti wa ACT wazarendo jambo lililo acha minong'ono mingi sana


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)