KANISA NCHINI GHANA LAIFANYIA MISA TIMU YA CHELSEA

Admin
By -
0

Kanisa moja nchini ghaba limefanya misa maalumu kwaajili ya kuipongeza timu ya chelsea baada ya kuwa mabingwa

katika misa hiyo waumini walivaria jezi za timu ya chelsea na kulishana keki kwaajili ya kufuraia ushindi wa ubingwa wa chelsea

katika kanisa hilo walijenga na jukwaa maalumu lenye mfano wa kiwanja cha mpira cha chelsea pamoja na keki pia

mchungaji wa kanisa alisema lazma wafanye ibada kumshukuru mungu baada ya chelsea kuwa ma bingwa wa ligi kuu ya uingereza


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)