wachezaji watakao jiangusha kuazibiwa

Admin
By -
0

shilikisho la mpira wa miguu nchini uingereza FA lasema watakao jirusha wataadhibiwa

hatua hiyo imekuja baada ya wachezaji kuwa na tabia ya kutafuta penati kwa kujiangusha au kutafuta faulo

wachezaji wengi wamekuwa natabia hiyo na huu utakuwa msumari kwao maana watakumbwa na adhabu ambayo bado haija bainishwa


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)