tanzania yapata tena msaada kutoka marekani

Admin
By -
0

serikali ya marekani yaipatia tanzania dola milion 552 kwaajiri ya kusaidia kupambana na ukimwi

hatua hiyo imekuja mda mchache baada ya kusitisha msaada kwa serikali ya kenya hivi majuzi

pesa hizo zta wasaidia wajane,wenye virusi na kusaidia mashilika yanayo pambana na maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini tanzania


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)