meya na waandishi wa habari wakamatwa arusha

Admin
By -
0

meya wa jiji la arusha na waandishi wa abari wakamatwa na polisi reo.mjini arusha miongoni mwa walio kamatwa ni

janet mushi-mtanzania
godfrey thomas-ayo tv
filberty rugemamu-mwananchi
husein tuta-itv
joseph ngilishi-sunrise radio
geofrey -radio 5
zefania ubwan-the citizen
elhuruma yoan-tanzania daima

mpaka sasa haijaereweka chanzo cha kukamatwa kwao ufatiliaji unaendelea


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)