Jeshi la polisi nchini peru imesema polisi wake wawili waliuawa jana na wauza mihadarati
polisi hao walivamiwa wakati wakitoka doria katika mji mmoja kusini mwa nchi hiyo ambapo walivamiwa na kushambuliwa kwa risasi mpaka kufa
inaaminika shambulio hilo ni kulipa kisasi baada ya kuharibiwa kilo zaidi ya 700 zaadawa ya kulevya
katika nchi hiiyo kuna kikundi cha waasi kinaendesha biashara hiyo ya madawa ya kulevya kwa miongo kadhaa sasa huku wakifanya na mauaji kwa raia na polisi
polisi hao walivamiwa wakati wakitoka doria katika mji mmoja kusini mwa nchi hiyo ambapo walivamiwa na kushambuliwa kwa risasi mpaka kufa
inaaminika shambulio hilo ni kulipa kisasi baada ya kuharibiwa kilo zaidi ya 700 zaadawa ya kulevya
katika nchi hiiyo kuna kikundi cha waasi kinaendesha biashara hiyo ya madawa ya kulevya kwa miongo kadhaa sasa huku wakifanya na mauaji kwa raia na polisi