NACTE YAJIVUA UDAHILI WANAFUNZI DIPROMA

Admin
By -
0

Nacte imetangaza rasmi kuwa wanafunzi wa deproma na certificate wanatakiwa kutuma maombi yao vyuoni moja kwa moja

hatua hiyo imekuja kuwa ni mabadiriko ya shelia ya mwanzo ambayo inawataka wanafunzi wa deproma kupeleka maombi ya kujiunga kwa kupitia NACTE

hatua hii.pia imekuja baada ya TCU pia kuwataka wanafunzi wa degree kuomba kupitia vyuo moja kwa moja na siyo kuleta maombi kwao kma ilivyo kuwa siku za nyuma ambapo watainiwa walitakiwa kupitia TCU ili kujiunga na vyuo vikuu


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)