polisi wadaiwa kumuua mwanafunzi kigamboni

Admin
By -
0
polisi wadaiwa kumuua mwanafunzi kigamboni wakimtuhumu ni jambazi

chanzo kinasema ilikuwa majira ya saa 3:30 usiku marehem boniventure kimali ambae ni mwanafunzi wa chuo cha uvuvi mbegani alikuwa amekaa nje na mwenzake ghafla wakatokea polisi ambao bila maerezo waka mpiga risasi wakijua ndiye jambazi walio kuwa wakimtafuta

mashuhuda wanasema walishindwa kusogea kwakuwa walikuwa wanahofia uhai wao ila walimsikia mwanafunzi huyo akilia kwa uchungu huku akiomba asiuawe

baada ya muda mchache akaja polisi mwingine ambae alisikika akisema walio mpiga risasi si jambazi

ndipo polisi huyo akachukuwa simu na kupiga akitaka kuletewa gari ili wampeleke shospitali

baada ya muda gari likafika wakampakiza kijana huyo na kwenda nae hospitali

ambapo baada ya kumwacha polisi hao hawakuja tena kutoa wala kuchukuwa maerezo ikimaanisha ni kma wamejua wametenda kosa

kwa mijibu wa kaka wa kijana huyo amesema wanafuatilia kma wanaweza pata haki ya mdgo wake huku akionesha shaka
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)