picha za mshambuliaji manchester zapatikana

Admin
By -
0
baada ya mlipuko mjini manchester polisi iliwachukua saa mbil tuu kumtambua muuaji

muuaji ni salman abeidi pichani ambae ana mafungamano na ugaidi aliuwa zaidi ya watu 22  katika ukumbi wa muziki mjini manchestee

inaaminika mda mchache kabla ya tukio salman alikwenda libya ambapo hakufahamika alikwenda kwa dhumuni gani

kufuatia tukio hilo polisi wame wakamata watu zaidi ya 14  ambao wana mahusiano na salman na huenda wana taarifa kuhusu tukio hilo

kijana salman alizaliwa na kukulia uingereza wakati wazazi wake ni waamiaji kutoka libya
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)