meya wa paris kufunga tamasha la watu weusi

Admin
By -
0
baada ya miaka mingi mjini paris kufanyika kwa tamasha la wanawake weusi meya wa paris anafikilia kulifuta tamasha hilo

tamasha hilo ambalo hufanyika kila mwaka mjini parisi huwa linakusanya wanawake weusi tuu huwa warangi zingine wakiwa hawaruhusiwi

meya alisema ni aina ya ubaguzi kuwatenga wanawake wengine ambao si weusi katika tamasha hilo.huku akiyashangaa.mashilika ya kutetea haki za binadam yakiwa yametekwa na kukaa kimya

waandaaji wa tamasha wamejitetea kwa kusema kuwa wanawake weusi huwa asilimia 80 huku asilimia inayo bakia huwa ya watu wa jamii zingine

pia kuna walio mjia juu meya na kumwambia kuwa hana mamlaka ya kusitisha tamasha hilo kwa mujibu wa sheria
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)