mbuzi wanao panda juu ya miti

Admin
By -
0
kutokana na tatizo la ukosefu wa majani nchini moroko mbuzi hupanda mpaka juu ya miti kufuata chakura baada ya kukosa aldhini
wamesha zoea kupanda juu ya miti kwakuwa hufanya hivi kilasiku ila kwenda kula majani

tatizo la ukame uhathiri viumbe vyote syo tuu binadamu ndyo maana mbuzi wanajikuta wanapanda mpaka juu tofauti na mbuzi wengine

mtu wa karibu wa maeneo hayo amesema mbuzi hao hupanda juu kilasiku wala hii syo mara ya kwanza hufanya hivyo kwaajili ya kufuata majani
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)