marufuku uraji mbwa yawa gumzo china

Admin
By -
0 minute read
0

baada ya serikali nchini china kupiga marufuku ulaji mmbwa marufuku hiyo imewakasirisha watu wengi nchini humo hivi majuzi

nchini china mmbwa hutumika kwa kitoweo kma wanyama wengine na nyama yake uhuzwa buchani na inawateja wengi ambao hupenda nyama hiyo

atua hiyo imekuja.baada ya malalamiko kutoka kwa wanaharakati watetezi wa haki za wanyama ambao walisimama kidete kuakikisha ukatili dhidi ya wanyama una komeshwa mchini humo

china mmbwa hufugwa kma kitoweo na syo kwaajili ya ulinzi na urembo.kma ambavyo ipo nchi zingine


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)