GAUTTUSO KOCHA MPYA WA AC MILAN


Champions League - Gennaro Gattuso (picture-alliance/LaPresse/J. Moscrop)
Gennaro Gattuso, Kocha wa AC Milan
Waliokuwa miamba wa Italia AC Milan wamemtangaza mchezaji wao wa zamani Gennaro Gattuso kuwa kocha wao mpya baada ya kumuonyesha kwa mlango Vincenzo Montella.
Mabingwa hao wa Ulaya mara saba wamemfuta kazi Montella baada ya kutoka sare ya bila kufungana na Torino hapo jana, matokeo ambayo yaliiacha katika nafasi ya saba kwenye ligi kuu ya kandanda Italia – Serie A.
 Gattuso mwenye umri wa miaka 39, aliichezea AC Milan mechi 450 kati ya 1999 na 2012, na akanyanyua Kombe la Dunia na Italia mwaka wa 2006. 
Tangu alipostaafu kucheza, amekuwa akifanya kazi na mfumo wa AC Milan kama kocha wa timu ya vijan

Post a Comment

Previous Post Next Post