MOTO WATEKETEZA OFISI YA SERIKALI UBUNGO

Admin
By -
0


Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Saranga, Ubungo, jijini Dar es Salaam,  imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, huku baadhi ya mali na nyaraka za serikali zilizokuwemo zikiteketea.

Kwa mujibu wa wahusika, chanzo  cha moto huo hakijajulikana lakini juhudi zinaendelea kumpata mtendaji wa kata hiyo ili kujua hasara iliyotokana na moto huo na ni vitu au mali gani zilizokuwemo katika ofisi hiyo.

Muonekano wa ofisi ya Mtendaji Kata ya Saranga Ubungo iliyotekelezwa kwa moto usiku wa kuamkia leo.


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)