HABARI MPYA; MAHAKAMA YAMWONGEZEA OSCAR PRISTORIUS KIFUNGO ZAIDI

nijuzenews
By -
0
Image result for picha za oscar pistoriusOscar Pistorius (Pool, AP)
Mahakama nchini Afrika Kusuni imemuongezea Oscar Pristorius kifungo cha miaka 13 jela na miezi sita kwa kosa kumua Mpenzi wake Reeva Steenkamp.
 Hukumu hiyo ya Mkimbiaji maarufu wa Olimpiki ni  mara mbili ya miaka ya hukumu aliopewa awali.

Kwa mjibu wa Shirika la Habari la Afrika Kusini lijulikanalo News 24,Waendesha Mashtaka wamesema wamesema kuwa miaka sita ya awali aliohukumiwa hapo awali kwa mauji ya mpenzi wake ni michache saana hiyo aongeweze zaidi

Mahakama  Kuu ya Rufaa umeamkua kwa kauli moja kumuongezea kifungo mpaka miaka 15 lakini itaanza kuhesebiwa kwa ile ya awali aliotumikia amesema Jaji  Legoabe Willie Seriti 

Lakini  Oscar mwenyewe anasema kuwa hakudhamiria kumua mpenzi wake huyo bafuni akidhani kuwa alikuwa mwizi
Awali Jaji wa mahakama Kuu ya North Gauteng Bw.Thokozile Masipa  alimhumu Pristorius kifungo cha nyumbani cha miaka mitano jela mwaka  2014

Mkimbiaji huyo wa Olimpiki afanya mauaji hayo ya mpenzi waka Reeva Steenkamp mwaka 2013 sku ya Valentine
Oscar Pritoriusa mwenye ulemavu wa miguu  hakuepo mahakama wakati hukumu hiyo ikitolelewa.

Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)