watu wapatao saba wame lipotiwa kufariki baada ya kunywa pombe inayo aminika kuwa ni gongo
tukio hilo limetokea maeneo ya kimara stop over ambapo watu saba walifariki baada ya kunywa pombe haramu haina ya gongo
mganga wa hospitali ya mwananyamala amesema amepokea miili ya watu saba wakiwa wamekwisha fariki baada ya kunywa pombe inayo sadikika ni gongo
inaonekana watu hao walikunywa pombe ambayo ilichanganywa na kitu kingine na wakati wana changanya walikosea hatua iliyo pelekea kutengeneza sumu mwilini
uchunguzi unaendelea kubaini chanzo kamili cha tukio hilo lililo chukuwa unai wa watu zaidi ya saba
tukio hilo limetokea maeneo ya kimara stop over ambapo watu saba walifariki baada ya kunywa pombe haramu haina ya gongo
mganga wa hospitali ya mwananyamala amesema amepokea miili ya watu saba wakiwa wamekwisha fariki baada ya kunywa pombe inayo sadikika ni gongo
inaonekana watu hao walikunywa pombe ambayo ilichanganywa na kitu kingine na wakati wana changanya walikosea hatua iliyo pelekea kutengeneza sumu mwilini
uchunguzi unaendelea kubaini chanzo kamili cha tukio hilo lililo chukuwa unai wa watu zaidi ya saba
Tags
Kitaifa