Wanajeshi wawili wa JWTZ wameuawa nchini congo huku wengine 18 wakiwa wamejeruhiwa nchini congo DRC
wanajeshi hao walikuwa wakifanya kazi chini ya mwamvuli wa umoja wa mataifa nchini congo
tukio hilo limetokea majira ya saa 10 alfajiri ambapo waasi walivamia kambi yao ambayo ipo maeneo ya goma nchini congo
majeruhi wamekimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi wakati operation maalum ya kuwasaka waasi hao imesha kwisha anza
umoja wa mataifa umetoa salamu za pole kwa walinda amani kutoka Tanzania na wamelaani kitendo hicho kisicho cha uungwana
wanajeshi hao walikuwa wakifanya kazi chini ya mwamvuli wa umoja wa mataifa nchini congo
tukio hilo limetokea majira ya saa 10 alfajiri ambapo waasi walivamia kambi yao ambayo ipo maeneo ya goma nchini congo
majeruhi wamekimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi wakati operation maalum ya kuwasaka waasi hao imesha kwisha anza
umoja wa mataifa umetoa salamu za pole kwa walinda amani kutoka Tanzania na wamelaani kitendo hicho kisicho cha uungwana
Tags
Kimataifa