Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya laila odinga atangaza kujitoa katika kinyang'anyilo cha uchaguzi wa maruduo
Odinga amesema ameamua kujitoa kufuatia baadhi ya mambo kuto kuwa sawa ikiwemo kuto tolewa kwa wafanyakazi wa tume ya uchaguzi walio boronga mala ya kwanza
uchaguzi wa marudio ulitalajiwa mwezi huu 26 lakini ndiyo hivyo Odinga katangaza kuto husika
Odinga amesema ameamua kujitoa kufuatia baadhi ya mambo kuto kuwa sawa ikiwemo kuto tolewa kwa wafanyakazi wa tume ya uchaguzi walio boronga mala ya kwanza
uchaguzi wa marudio ulitalajiwa mwezi huu 26 lakini ndiyo hivyo Odinga katangaza kuto husika
Tags
Siasa
