mahakama mjini dar es salaam ime mwachia huru mfanya biashara Yusuphu manji
manji alikuwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya ambapo mahakama imesema upande wa mashitaka umeshindwa kutoa ushahidi wa kutosha dhidi ya kesi iliyokuwa iki mkabili Yusuph manji
manji alikuwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya ambapo mahakama imesema upande wa mashitaka umeshindwa kutoa ushahidi wa kutosha dhidi ya kesi iliyokuwa iki mkabili Yusuph manji
Tags
Kitaifa