Watu watano wanao sadikika kuwa ni majambazi wame uawa mjini dar es salaam baada ya kujibizana na polisi kwa risasi
tukio hilo limetokea maeneo ya Toangoma mjini dar es salaam usiku wa kuamkia leo ijumaa
jeshi la polisi limesema walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu kuwepo kwa mpango wa uharifu maeneo hayo
baada ya kupata taarifa wali weka ulinzi na ilipo fika majira ya usiku watu hao wakiwa wengi walifika eneo hilo kwaajili ya kufanya tukio lao
majibizano yalikuwa makubwa kwakuwa watuhumiwa walikuwa na siraha nzito lakini jeshi la polisi kwakuwa lipo vizuri likafanikiwa kuwaua watano huku wengine wakifanikiwa kukimbia
tukio hilo limetokea maeneo ya Toangoma mjini dar es salaam usiku wa kuamkia leo ijumaa
jeshi la polisi limesema walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu kuwepo kwa mpango wa uharifu maeneo hayo
baada ya kupata taarifa wali weka ulinzi na ilipo fika majira ya usiku watu hao wakiwa wengi walifika eneo hilo kwaajili ya kufanya tukio lao
majibizano yalikuwa makubwa kwakuwa watuhumiwa walikuwa na siraha nzito lakini jeshi la polisi kwakuwa lipo vizuri likafanikiwa kuwaua watano huku wengine wakifanikiwa kukimbia
Tags
Kitaifa