Patric mugadza ambae ni mchungaji nchini zimbabwe apandishwa kizimbani baada ya kumtabilia kifo raisi Robert mugabe
mchungaji huyo alikamatwa baada ya kusema kuwa ametabili kuwa raisi mugabe atafariki mwezi huu
mchungaji patric alisema ameoteshea kuwa mugabe ata fariki oktoba 17 yaani mwezi huu
baada ya kutamka hayo alipandishwa kizimbani na kufunguliwa makosa mawili ya kukashifu dini na kuvunja mira na desturi
wakili wa mchungaji huyo alitaka kesi ifutwe kwakuwa kufunguliwa kwake kulikuwa na dosari nyingi lakini mahakama haikulidhia kufuta shitaka hilo
mchungaji huyo alikamatwa baada ya kusema kuwa ametabili kuwa raisi mugabe atafariki mwezi huu
mchungaji patric alisema ameoteshea kuwa mugabe ata fariki oktoba 17 yaani mwezi huu
baada ya kutamka hayo alipandishwa kizimbani na kufunguliwa makosa mawili ya kukashifu dini na kuvunja mira na desturi
wakili wa mchungaji huyo alitaka kesi ifutwe kwakuwa kufunguliwa kwake kulikuwa na dosari nyingi lakini mahakama haikulidhia kufuta shitaka hilo
Tags
Kimataifa