Msanii wa bongo fleva wa muda mrefu Ray C kupitia ukurasa wake wa instagram ampiga marufuku msanii Nandy kuimba nyimbo zake
Nandy kwenye show zake amekuwa akiimba baadhi ya nyimbo za ray c kitu ambacho ray c haja kifuraia
Ray C amesema kuwa " yeye bado mzima hajafa wala hana tatizo na anaweza kuimba kama mnapenda nyimbo zake kwanini msimwite mumlipe na yeye? kibaya ni mara ya tatu anaimba nyimbo zake bila ruhusa na ata mtaani wakimwona wana mkaushia kama hawa mjui hapendi"
Nandy kwenye show zake amekuwa akiimba baadhi ya nyimbo za ray c kitu ambacho ray c haja kifuraia
Ray C amesema kuwa " yeye bado mzima hajafa wala hana tatizo na anaweza kuimba kama mnapenda nyimbo zake kwanini msimwite mumlipe na yeye? kibaya ni mara ya tatu anaimba nyimbo zake bila ruhusa na ata mtaani wakimwona wana mkaushia kama hawa mjui hapendi"
Tags
burudani

